Skip to main content

ANC stalwart Ruth Mompati dies

ANC stalwart and former MP, ambassador and mayor Ruth Mompati has died after a short illness, ANC deputy secretary general Jessie Duarte reported.

A former typist at Mandela Tambo attorneys, leader of the anti-pass law march on August 9 1956 and a negotiator at the Groote Schuur talks in 1990, Mompati was 89. The district municipality in the North West where she was born and later served as mayor is named after her.

Dr Ruth Segomotsi Mompati was born in Tlapeng village, near Vryburg, in the then Western Transvaal on 14 September 14 1925. She started working as a teacher in the area in 1944 but her teaching career was curtailed in 1952 when she got married and had her employment terminated under apartheid laws. She later relocated to Soweto where she worked as a typist for Nelson Mandela and Oliver Tambo at their law firm and became an active member of the ANC.

During this period, she became a member of the ANC Women’s League National Executive Committee, became involved in the 1952 Defiance Campaign and helped form the Federation of South African Women (Fedsaw). She was among the organisers of the historic women’s anti-pass law march to the Union Buildings on August 9 1956, alongside Helen Joseph, Lillian Ngoyi and Gertrude Shope.

In 1962 she went into exile and received military training in the Soviet Union. She then served the ANC, most notably in the presidents office, and Fedsaw in Europe and on the African continent, including in Tanzania and Zambia. In the early 80s, she served as an ANC representative in the United Kingdom, and was to later form part of the delegation that opened talks with the South African government at Groote Schuur in 1990.

On 10 August 1992, a day after the anniversary of the historic Women’s March to Pretoria in 1956, she addressed the United Nations Special Committee against Apartheid in New York on matters affecting women.

In 1994, she was elected among a first generation of ANC MPs to the National Assembly, where she served until 1996 before being posted to Switzerland as an ambassador for four years.

Her life and career came full circle in 2000 when she returned to Naledi municipality in Vryburg to serve mayor until May 2010.

She was granted an honorary Master’s degree in education by the North West University an honorary doctorate by Medunsa

Comments

Popular posts from this blog

Rais Wa Burundu "Apinduliwa"......Ndege Yake Jana Ilishindwa Kutua Burundi na Kuamua Kurudi Tanzania

Nchini Burundi, aliyekua mkuu wa majeshi Jenerali Godefroid Niyombare ametangaza Jumatano Mei 13 kuwa rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza amepinduliwa madarakani. Meja Generali Niyombareh alisema wamechukua hatua hiyo baada ya watu wa Burundi kukataa kwa kinywa kipana awamu ya tatu ya urais wa Nkurunziza. Jenerali huyo aliyetimuliwa na Nkurunziza mwezi februari alisema kuwa Nkurunziza alishindwa kuheshimu mwafaka wa amani mbali na sheria za kimataifa. Wakati  Mapinduzi  hayo  yakitangazwa, Rais Nkurunziza alikuwa  nchini Tanzania kujumuika na viongozi wa kanda  ya Afrika Mashariki kutafuta suluhu ya mgogoro wa Burundi tangu Nkurunzinza atangaze nia yake ya kuwania awamu ya tatu. Baada  ya  tangazo  la  kupindulikwa  kwake, Rais  huyo  alipanda  ndege  kurejea  nchini  kwake  licha  ya  tangazo  la  kufungwa  kwa  mipaka  yote  na  viwanja  vya...

Gharama za kupima ardhi kupunguzwa

SERIKALI imesema katika mwaka ujao wa fedha itapunguza gharama za upimaji ardhi kwa zaidi ya nusu ili kuwawezesha wanachi kupima maeneo yao, hali ambayo inaonekana itapunguza migogoro ya ardhi. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi wakati wa ziara mkoani hapa kwa ajili ya kutatua migogoro ya ardhi ambayo imedumu kwa miaka mingi. Akizungumza na watendaji wa sekta mbalimbali wa mkoa wa Tabora, Waziri Lukuvi alisema Wizara itapunguza kwa zaidi ya nusu, gharama za upimaji ardhi ili kila mwananchi aweze kupima eneo lake na kupata hati ya umiliki. Lukuvi aliongeza kuwa serikali pia itaweza kukusanya kwa wingi kodi ya pango la ardhi, hivyo kuongeza mapato ambayo yataisaidia serikali katika kufanikisha shughuli za maendeleo. Pamoja na kupunguza gharama hizo, Lukuvi aliwaonya maofisa ardhi kuacha tabia ya kuendesha shughuli za serikali kwa kukiuka taratibu, akitolea mfano wa maofisa hao kupima viwanja juu ya viwanja suala ambalo limekuwa lina...

Frola Mbasha Ajiunga CHADEMA

MWIMBAJI maarufu wa nyimbo za injili nchini, Frola Mbasha ameijunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Tanganyika Packers mjini Dar es Salaam jana, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), alisema kuijunga kwa Mbasha katika chama hicho kutasaidia kuhamasisha wasanii wengine ambao wamekuwa wakitumiwa na Chama Chama Mapinduzi (CCM), bila kupata mafanikio. ” Idadi kubwa ya wasanii nchini, wanateseka bila ya kujijua, hii inatokana na kutumiwa na CCM bila kupata mafanikio ya aina yoyote…Frola inabidi uwaelimishe ili waweze kujiunga na chama chetu,”alisema Mdee. Naye Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mbowe alisema siku Serikali itakapowasilisha muswada wa Sheria wa Vyombo vya Habari bungeni, wabunge wa chama hicho na wale wanauounda Umoja wa Katiba ya Wananchi ( Ukawa) watafanya vurugu ili kuhakikisha haupiti. Alisema baadhi ya vipengele vya muswada huo vinakandamiza waandishi na wananchi kupata...